Jeremiah 38:14

Sedekia Amhoji Yeremia Tena

14 aNdipo Mfalme Sedekia akatuma watu wamwitie nabii Yeremia wamlete kwake kwenye ingilio la tatu la Hekalu la Bwana. Mfalme akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza jambo fulani, usinifiche kitu chochote.”

Copyright information for SwhNEN